Mi kijana,umri miaka 24,nina shahada ya utawala wa jamii..nimehitim mwaka jana..hv sasa nataka nifanye kazi kama sales executive ktk micro lending moja hivi,je itaniongezea uwezekano wa kupata nafasi hasa katika stad yang,nininaomba ushauli wenu
Unataka kazi ya fani ulosomea eeh, mayb aftr atleast 6 years u might ipata. Kaz zilizojaa mjini ni SALES haijalish umesomea nini..masomo chuo, mtaan ni kustrugle 2.