Naomba Ushauri: gari ipi inafaa/imara kati ya Toyota Carina na Honda Fit

Naomba Ushauri: gari ipi inafaa/imara kati ya Toyota Carina na Honda Fit

markach

Senior Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
121
Reaction score
12
Ndugu wana JF, naitaji kununua gari kwa matumizi ya shughuli zangu za binafsi. Nina chaguo mbili kati Carina au Honda Fit, ni ipi imara kwa upande wa kuvumilia mda mrefu bila matengenezo? najua kuna wengi wana uzoefu na haya magari, naombeni msaada wenu kabla ya kufanya maamuzi
 
Chukua Toyata Carina kwa ajili ya avaibilty ya vipuri
 
Honda ni pasua kichwa, hata ukivunjiwa taa ni ngumu kuipata madukani
 
Kama una shida na kwa babu ujanani tumia honda
pressure yake lazima ukaponee na kikombe
 
Ndugu wana JF, naitaji kununua gari kwa matumizi ya shughuli zangu za binafsi. Nina chaguo mbili kati Carina au Honda Fit, ni ipi imara kwa upande wa kuvumilia mda mrefu bila matengenezo? najua kuna wengi wana uzoefu na haya magari, naombeni msaada wenu kabla ya kufanya maamuzi

Mkuu Honda bado itasumbua kwa masuala ya vipuri, kuhusu ubora sina hakika. Je katika utafiti wako kuna Carina ya cc 1500 au below??
 
Honda ni gari ngumu na haina spares fakemadukani ila zilizopo (Original) ni za gharama sana,
lakini kama una uwezo basi ningekushauri ununue honda, japo spare ni za gharama lakini ukinunua huwa zinakaa na kwa sasa spare nyingi za hayo magari ni za second hand (brand new second hand), kama unaungaunga basi chukua Carina ina spare nyingi mno kila kona uwezi kulala njiani
 
Mkuu Honda bado itasumbua kwa masuala ya vipuri, kuhusu ubora sina hakika. Je katika utafiti wako kuna Carina ya cc 1500 au below??

Katika utafiti kuna carina za cc1800 na 1500. lkn mi na prefer ya 1500 cc kwa ajili ya fuel consumptions
 
Honda ni gari ngumu na haina spares fakemadukani ila zilizopo (Original) ni za gharama sana,
lakini kama una uwezo basi ningekushauri ununue honda, japo spare ni za gharama lakini ukinunua huwa zinakaa na kwa sasa spare nyingi za hayo magari ni za second hand (brand new second hand), kama unaungaunga basi chukua Carina ina spare nyingi mno kila kona uwezi kulala njiani

Asante mkuu kwa ushauri wako. nitaufanyia kazi
 
Back
Top Bottom