π
Nashukuru mkuu, maana huu pia ni ushauri kutoka kwa great thinker!
MKUU saa nyingine unajibiwa upumbavu kwa sababu ya maswali ya upumbavu, hivi kweli kwa umri ulionao mpaka ukawa nje ya nchi na ukawa na akili ya kutafuta, apartment unaleta humu jamvini kwa Magreat Thinkerz swali la ujinga kabisa, unataka upewe ushauri gani kwa swali la umbumbavu namna hiyo,
MKUU saa nyingine unajibiwa upumbavu kwa sababu ya maswali ya upumbavu, hivi kweli kwa umri ulionao mpaka ukawa nje ya nchi na ukawa na akili ya kutafuta, apartment unaleta humu jamvini kwa Magreat Thinkerz swali la ujinga kabisa, unataka upewe ushauri gani kwa swali la umbumbavu namna hiyo,
ina maana wewe ni bikira?gonga nyama iyo itatuliza mizuka yake kwani atajua kipozeo kipo karibuIla sitaki kuchanganya mapenzi ma masomo, nataka kukamilisha lengo ili baadae nirudi kuongeza nguvu katika nchi yangu.
Duu......siku nyingi sana sijachangia mada humu lakini nalazimika leo ili nikusaidie mdogo wangu....
Hii ngoma lazima uitandike tena kikamilifu, hakikisha unaipa mchezo ambao haijawahi kupatiwa maishani mwake, ukifanikiwa kwenye hili- makelele yatakuwa yanapigwa pale wewe mwenyewe unapotaka yapigwe! Simple. Ukimkamua vizuri atataka kuliendeleza na wewe na huo ndo utakuwa mwisho wake yeye kuleta mijamaa mingine hapo geto kwake kwa hofu ya kuikosa dozi yako special, hata akiamua kumegwa atakuwa anaenda viwanja vya ugenini.
Kazi na dawa mdogo wangu, ukinga'ang'ana na mijitabu tu lazima utafeli, lazima siku mojamoja nyakati za jioni ulegeze msuli kidogo na Mungu akupe nini tena? Ngoma ya ubwete hiyoooo mlango wa pili tu, wenzako wanaingia magharama kibao kwa kupiga kabao kamoja tu, go for it son!
...utamfanya (Zurich) aanze kupiga kelele yeye hapo!... π
Kwanini Mbu?
Duu......siku nyingi sana sijachangia mada humu lakini nalazimika leo ili nikusaidie mdogo wangu....
Kazi na dawa mdogo wangu, ukinga'ang'ana na mijitabu tu lazima utafeli, lazima siku mojamoja nyakati za jioni ulegeze msuli kidogo na Mungu akupe nini tena? Ngoma ya ubwete hiyoooo mlango wa pili tu, wenzako wanaingia magharama kibao kwa kupiga kabao kamoja tu, go for it son!
Nimepanga chumba katika flat ambayo tuko watu 4, wote ni wanafunzi,kutoka nchi tofauti(Spain, Peru,Poland, ) akiwemo dada mmoja, mtu wa Poland, kwa kweli huyu dada anapenda ngono maana nina siku tatu tu tangia nihamie hapa na tayari ame-import(awala) mara mbili na kibaya zaidi chumba chake kinatangamana na chumba changu, kelele zote za mahaba nazisikia live kana kwamba ziko uvunguni mwa kitanda changu, na kibaya zaidi upatikanaji wa apartment katika mji huu ni taabu kweli kweli, na tayari nina mkataba wa mwaka mzima wa kukaa hapa, ndugu zangu nifanyeje, maana hivi vishawishi vinaamusha tamaa kwelikweli lakini nataka nijiepushe hadi nitakapofikia muda wa kuoa, najua hapa kuna great thinkers naomba ushauri wenu.
kuna uhusiano gani kati ya ngono ya jirani yako na kuoga kwako?sijuhi kama kuna "mbuni" huko, lakini akianza kelele zake wewe kimbilia bafuni na anza "kuoga"