kichwangum
Member
- Nov 10, 2024
- 43
- 62
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika kozi ya Bachelor of Health Services Management nina shauku ya kupata GPA ya 4.5 had 5.
Naomba ushauri wenu wataalamu nin nikazie au nifanye!
Ahsante naomba kuwasilisha!
Naomba ushauri wenu wataalamu nin nikazie au nifanye!
Ahsante naomba kuwasilisha!