Naomba ushauri jinsi ya kuacha kupiga puli,

Hivi wadau kuna namna yeyote ya kuacha kujipiga selfie ? Ni muda sasa tangu nianze kujihudumia, japo sijawahi kupata madhara yeyote kuhusiana na hii Tabia yangu, ila naomba msaada wa kuacha hii kitu jaman nachoka kuvuta hisia za mademu wakali,
Tafuta Demu mkuu.
 
Dawa ni kuwa busy na kuondoa Fikra hizo na pia tafuta mwanamke , muda ukiwa una hamu unampigia simu mnayajenga
 
puli inafanya kagegedo kasinyae, omba Mungu akusaidie hakuna njia nyingine mkuu
 
Umeanza lini? Unefanya kwa muda gani? Je huwa unaweza kukaa siku ngapi bila kufanya? Je imekuathiri kiasi gani?, tujue kwanza ukubwa wa tatizo then tukupe tips za kupunguza na nini ufanye ili urudi kwenye hali yako ya zamani. Kuacha ni neema ya Mungu mwenyewe mpaka naandika hapa nipo rehab na mimi kwa hio kitu.
 
[emoji23] [emoji23]
Mkuu, wewe imekuathiri kwa kiasi gani na huwa unakaa siku ngapi bila kufanya!?
 
Fanya hivi mkuu

1.Kama upo magroup ya X ya WhatsApp jitoe yooote

2.Muda wa kulala usilale na simu.Zima iweke chaji


3.Usipende kukaa pekee yako

4.Admin akikuadd kwenye group la X mtukane matusi mazito mazito

5.Fanya mazoez jion kama saa 2 hadi saa 3 ukichoka rud home kula kalale

6.Usipende kuangalia picha za nyuchi
 
Ushauri mzuri saa huu mkuu.

Lakini vipi kwa wale wanaopiga pasipo kuangalia picha za nyuchi wala kuwa magroup ya whatsapp.

Ninamaanisha kuna watu wameathirika sana na mazoea hayo, lakini hawana smarphones!!
 
Sasa ww utamshaur nn hahaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Labda ukatwe mikono [emoji113] [emoji12] [emoji12]
Hata akikatwa mikono anaweza kutafuta njia mbadala kama hajadhamiria kwa dhati kuacha.Ila haka kamchezo waweza kabisa kuacha
 
Hivi wadau kuna namna yeyote ya kuacha kujipiga selfie ? Ni muda sasa tangu nianze kujihudumia, japo sijawahi kupata madhara yeyote kuhusiana na hii Tabia yangu, ila naomba msaada wa kuacha hii kitu jaman nachoka kuvuta hisia za mademu wakali,
Mzee mm niliwah jaribu kipindi Niko a level lakn nilipohitimu niliacha kabisa,
Cha msingi nikuacha mazoea ya Kuwa pekee ako pekee ako maan hapo ndo huwa panakushawishi[emoji13] kujipunyua
 
Hivi wadau kuna namna yeyote ya kuacha kujipiga selfie ? Ni muda sasa tangu nianze kujihudumia, japo sijawahi kupata madhara yeyote kuhusiana na hii Tabia yangu, ila naomba msaada wa kuacha hii kitu jaman nachoka kuvuta hisia za mademu wakali,
Madhara yake ni makubwa mbeleni, acha mara moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…