Naomba ushauri jinsi ya kununua cement mifuko 100 kwa bei ya jumla kutoka kiwanda cha Twiga

Naomba ushauri jinsi ya kununua cement mifuko 100 kwa bei ya jumla kutoka kiwanda cha Twiga

Kimla

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2008
Posts
3,810
Reaction score
6,599
Wadau, mie nina kaujenzi kanakokadiria kutumia mifuko 50 Hadi 100. Kununua rejareja naona inaniumiza. Ningependa kujua je inawezekana kununua cement kwa Bei ya jumla kutoka kiwandani ili nipate Bei ya punguzo kwa mifiko 100?

Naombeni ushauri. Naisha Mbezi Luisi karibu na Mageti
 
Wadau, mie nina kaujenzi kanakokadiria kutumia mifuko 50 Hadi 100. Kununua rejareja naona inaniumiza. Ningependa kujua je inawezekana kununua cement kwa Bei ya jumla kutoka kiwandani ili nipate Bei ya punguzo kwa mifiko 100?

Naombeni ushauri. Naisha Mbezi Luisi karibu na Mageti
Mkuu mifuko 100 ni michache sana kwa kuagiza order ya kiwandani, hiyo ni kama tan 5, hyo ni tofauti ya kama 1500 kwa bei ya mtaani, hapo bado usafiri lakini pia foleni ya kiwandani
 
Mkuu mifuko 100 ni michache sana kwa kuagiza order ya kiwandani, hiyo ni kama tan 5, hyo ni tofauti ya kama 1500 kwa bei ya mtaani, hapo bado usafiri lakini pia foleni ya kiwandani
Super agents wanaweza sh ngapi mifuko 100?sbb hij retail price ya 17000 inanipiga sana
 
Kama upo Dar es Salaam kuna Jamaa anaitwa DarCement naona bei zake zipo chini Kidogo....
 
Duuuuh sie Bariadi huku 22000. Then wewe 17000. Na bado unaona ipo juu?
 
Super agents wanaweza sh ngapi mifuko 100?sbb hij retail price ya 17000 inanipiga sana
Cheki na huyu,
Ni wakala wa Twiga Cement. Kipindi najenga last year nilimtumia sana kwenye cement, pia kokoto na mchanga.
0654 773 170,
Anaitwa MICHAEL.
 
Back
Top Bottom