Naomba ushauri juu ya biashara ya mabegi

Naomba ushauri juu ya biashara ya mabegi

Michael Mlay

Member
Joined
Aug 24, 2022
Posts
57
Reaction score
84
Habari za sahizi wana jamii forum

Nilikuwa nataka kufanya biashara ya mabegi ya mkono mmoja ya wanaume, mwenye uzoefu nawaomba mnishauri kuhusu hii biashara, napatikana Dodoma.

1693169166328.jpg
1693169425385.jpg
 
Back
Top Bottom