Naomba ushauri juu ya biashara ya mbali

Naomba ushauri juu ya biashara ya mbali

Bentley

Member
Joined
Mar 25, 2023
Posts
30
Reaction score
18
Wakuu poleni na majukumu, natarajia kwenda Njombe au Kilolo kununua msitu wa pine ekari moja kisa kupasua mbao za 2x6 ,2x4 kisha nizipeleke mwenyewe kuuza Babati.

Sasa anayefahamu kwa undani Faida na hasara, changamoto na Mapitio yote kuhusu biashara hii anijuze ili nipate kujua naanzaje.
 
Back
Top Bottom