Naomba ushauri juu ya biashara ya Uber, Bolt

Nilitoka tmj mikocheni hadi kinyerezi mwisho kwa 12000 ,nikaanza kupiga story na dereva akaniambia wanapata hela ya kula tu biashara ngumu
 
Nilitoka tmj mikocheni hadi kinyerezi mwisho kwa 12000 ,nikaanza kupiga story na dereva akaniambia wanapata hela ya kula tu biashara ngumu
Ile biashara sio! Bora ku bargain na mteja ile fairplay! Japo wengine walikuwa wanawapiga sana😅 ila kwa hali ya mafuta ilivyo wengi watakabidhi gari kwa wenyewe! Zamani uliweza mtoa mtu mbez mwisho mpaka Segerea kwa 25K tu! Ndio bei zilipokuwa zimefikia minimum 15K hapo trip kawaida!

Bolt kwa boda boda ndio wanainjoy sababu litre1 tu inaenda almost 40km! Sasa akikupeleka we mbagala ikasoma 8000 ana litre 3 na nusu humo! Trip fupi fupi zile anaweza tengeneza hesabu ya siku kwa mafuta ya elf 5 tu
 

Mimi natamani sana kuendesha hizi bolt lakini leseni yangu ni daraja A B D E naomba unishauri na kama kuna uwezekano wa kupata gari ya hesabu sehemu naomba pia uniunganishe ndugu yangu
 
Watu wanasomesha watoto wanalipa kodi wanatunza family kwa hiyo kazi.

Wewe tu kuwa mkweli hautaki Uber wawe wengi una asili ya roho mbaya.
Ahaaa da umenionea bure,hiyo kazi ni pasua kichwa unajua bei ya mafuta iko juu now ila rate ziko chini mno,kutoka ubungo mpaka mbezi standi 11000 na unarudi tupu sometimes au usubirie sana,hela ya kula utapata ila sio ya kujenga maisha
 
Ahaaa da umenionea bure,hiyo kazi ni pasua kichwa unajua bei ya mafuta iko juu now ila rate ziko chini mno,kutoka ubungo mpaka mbezi standi 11000 na unarudi tupu sometimes au usubirie sana,hela ya kula utapata ila sio ya kujenga maisha
Basi usikatishe watu tamaa kwa maneno ya kusikia....hiyo ishu ingekuwa hailipi watu wasingeagiza magari kwa ajili ya kufanyia uber, kama upo serious unaweza mpaka kujenga kwa uber.
 
Watu wanasomesha watoto wanalipa kodi wanatunza family kwa hiyo kazi.

Wewe tu kuwa mkweli hautaki Uber wawe wengi una asili ya roho mbaya.
Doh. Miji mikubwa ni wazi hii biashara inawaweka watu mjini. Kunaweza kuwa na changamoto kadhaa. Lakini sio kwa kiasi kinachosemwa na wengi wa wachangiaji. Ninaendelea na utafiti ninakusudia kufanya bolt ndani ya kipindi kichache kijacho preferably Dodoma or Arusha.
 
Ahaaa da umenionea bure,hiyo kazi ni pasua kichwa unajua bei ya mafuta iko juu now ila rate ziko chini mno,kutoka ubungo mpaka mbezi standi 11000 na unarudi tupu sometimes au usubirie sana,hela ya kula utapata ila sio ya kujenga maisha
Inalipa Sana kuliko kuajiriwa
 
Mkuu binafsi nimekuelewa kwa maoni uliyotoa, ila ninaswali, umesema 450@ km ili itapitikane faida inayoridhisha, unashauri litumike gari lenye ukubwa gani wa injini ,"cc"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…