Naomba ushauri juu ya duka la Cosmetics

Naomba ushauri juu ya duka la Cosmetics

KICHWA BOX

Member
Joined
Feb 21, 2015
Posts
21
Reaction score
0
Wakuu poleni na majukumu.

Naomba ushauri juu ya hii biashara ya vipodozi kwa mtaji wa 1milion nna frame tayari,kwa huo mtaji unatosha kuendeshea iyo biashara.Nnipo geita na nafikiria bidhaa kuifata Uganda kwa wana Jamii forums walioenda Uganda vipi upatikanaji wa vipodozi na bei yake.

Natanguliza shukrani
 
Kwanza jua bidhaa zinazouzika sehemu uliyopo ukianzia na body lotions, mafuta ya nywele, deodorizers (sprays na roll ons/sticks), tembelea saluni mbili tatu ujue dawa gani wanatumia sana maeneo hayo.

Then ukipata list sasa uulize upatikanaje wake huko unakotaka kwenda kununua na bei ya huku vs ya kule. . . .si vibaya ukatembea maduka ya wenzako kuona kama list yako inaendana au kupishana na bidhaa zilizopo kwa kiasi gani
 
Kwanza jua bidhaa zinazouzika sehemu uliyopo ukianzia na body lotions, mafuta ya nywele, deodorizers (sprays na roll ons/sticks), tembelea saluni mbili tatu ujue dawa gani wanatumia sana maeneo hayo.

Then ukipata list sasa uulize upatikanaje wake huko unakotaka kwenda kununua na bei ya huku vs ya kule. . . .si vibaya ukayembea maduka ya wenzako kuona kama list yako inaendana au kupishana na bidhaa zilizopo kwa kiasi gani
Nashuru kiongozi wangu thou bado cjafanya mlinganisho wa bei ila naskia UG vitu vipo chini all in all ntaufanyia kazi ushauri wako ili kujiridhisha kwanza,THANKS AGAIN
 
Nashuru kiongozi wangu thou bado cjafanya mlinganisho wa bei ila naskia UG vitu vipo chini all in all ntaufanyia kazi ushauri wako ili kujiridhisha kwanza,THANKS AGAIN
Umesikia good sasa umeamua kufanya achana na kusikia do your research kuwa na data angalia gharama za kwenda na kurudi malazi na chakula then amua sasa kwa ajili ya utekelezaji.

Umesikia sawa nakusisitizia ndugu yangu fanya hivi ninavyokushauri. Biashara yataka umakini na taarifa sahihi sana za wakati husika
 
Umesikia good sasa umeamua kufanya achana na kusikia do your research kuwa na data angalia gharama za kwenda na kurudi malazi na chakula then amua sasa kwa ajili ya utekelezaji.

Umesikia sawa nakusisitizia ndugu yangu fanya hivi ninavyokushauri. Biashara yataka umakini na taarifa sahihi sana za wakati husika
Asante kwa kunipa tahadhari na nakuahidi kuanzia kesho ntafanyia kazi ulichoniambia na nikikwama somewhere ntakutafuta kwa ushauri zaidi brother,Ubarikiwe sana.
 
Back
Top Bottom