Naomba ushauri juu ya kuagiza bidhaa nje

mayoscissors

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2009
Posts
975
Reaction score
478
Wana bodi,habari za miangaiko,nataka kuagiza tractor nje ya nchi,nimelipaza Ukraine kwa muuzaji Garkolena-Group,ukiangalia kwenye mtandao wanajihusisha na vyakula,Je nitumie njia gani kujua ni genuine seller maana eti unalipa 40% ya gharama na 60% baada ya kupokea mzigo,karibuni kwa ishauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashauri uende kwa Ma Wakala wanao Agiza Magari nje as long as unahitaji tractor

Nenda instagram
@b_mcar_dealers tz
Ofisi ziko posta jengo lilokua la SAMORA HOUSE
 
muone huyu jamaa 0652472486


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa European countries jaribu kutafuta hiyo item www.Autoline. Info, so far ndio mtandao pendwa linapokuja swala la matangazo ya mauzo ya mitambo pamoja na magari kwa ulaya

kama huyo anayekuuzia trekta yupo makini, lazima Hilo trekta litakuwa listed huko Autoline pia, na taarifa za muuzaji utazipata huko, kuanzia muda alikuwa nao Hao Autoline hadi adress za muuzaji

Ukiona Autoline hayuko, basi Anza kucheza kwa step, kuna uwezekano wa kulizwa hapo, Mind you, hiyo argument ya 40% kwanza, haiwezi kufanya kazi unaponunua items kama hizo mara nyingi wanataka full payments,

Ukiona seller anakutamanisha Sana na offer zisizowezekana kirahisi, Anza kuchukua tahadhari, ndo siri kubwa ya kununua online.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Matapeli wengi wa Nigeria wamejiwekea base Ukraine. Auto mobile busines ni ya cash basis haina part payment. Hapo ni kutiwa mjini tu. Namshauri ndugu yetu aachane nayo hiyo biashara. Hawa jamaa wako vizuri kwenye IT Technology mpaka wamemliza Hilary Clinton. Hiyo company hata hai exist in reality iko kwenye screen tu!
 
Si kulijua hilo la wanaigeria kuweka base zao za kitapeli Ukraine, so far najua wazungu washenzi kufanya nao biashara ni wa italiano

Amenistua hapo kwenye kulipa kwa Installment eti 40% then 60% mzigo ukifika, ndo mana nikamsihi awe makini hapo.

Sent from my BKK-AL10 using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…