Naomba ushauri juu ya kubadili engine ya Suzuki Grand Vitara kutoka manual kwenda automatic

Naomba ushauri juu ya kubadili engine ya Suzuki Grand Vitara kutoka manual kwenda automatic

korokwincho

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2014
Posts
1,054
Reaction score
1,269
Wakuu kuna gari ya nyumbani ambayo ni Suzuki Grand Vitara mafundi wanasema imekufa engine, so tulitaka tuibadili engine lakini iwe ya automatic. Je, inawezekana na wapi nitapata mafundi wazuri wa kurekebisha, gharama inaweza kuwa kiasi gani?

20200422_172553_HDR.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hapo kuna mambo mawili umeyazungumzia..kwanza kubadili engine mafundi wamekwambia engine imekufa? Pili wataka kuibadili iwe engine automatic? kosa hapo.

kuhusu kubadili engine kama imekufa kwa ushauri wangu wa haraka haraka ili kupunguza mambo mengi kama una uwezo weka engine kama iliyokuwepo? Au kwa ushauri zaidi nambie au twambie gari yako ina engine aina gani? ili ushauriwe vizuri.

Suala la automatic lipo kwenye gearbox na sio engine. Hapo inatakiwa uwe makini hubadili gearbox tuu bali utatakiwa kubadili pia control box ..sasa hapo kuna mara 2 kuna suzuki zingine zina control ya transmissio pembeni na nyingine control box ya engine inakuwa ina operate na gearbox hiyohiyo.

hivyo yakupasa kuelewa nn wataka kufanya maana usije ukaona kiza mbele.

kama upo dar es salaam tutafutane au hata kama upomkoani pia sio mbaya tunaweza kuja kukuhudumia *0627136700*
 
Kuhusu suala la engine, kuna gari Toyota porte ilikuwa na engine cc 1490 ikapata hitilafu, sasa nataka kubadili, niweke ingine, nimepata engine ya IST cc 1290 je kunaweza kuwa na tatizo hapo nikiweka hiyo ya ist interms of perfomance?
 
Kuhusu suala la engine, kuna gari toyota porte ilikuwa na engine cc 1490 ikapata hitilafu , sasa nataka kubadili, niweke ingine , nimepata engine ya ist cc 1290 je kunaweza kuwa na tatizo hapo nikiweka hiyo ya ist interms of perfomance??

Hiyo gari ina cc ngapi hadi uweke cc 1290, haupo serious hata kidgo unataka kuchezea hela tu. Hiyo gari speed sidhani hata utaweza kumpita kobe
 
Mkuu hapo kuna mambo mawili umeyazungumzia..kwanza kubadili engine mafundi wamekwambia engine imekufa? Pili wataka kuibadili iwe engine automatic? kosa hapo.

kuhusu kubadili engine kama imekufa kwa ushauri wangu wa haraka haraka ili kupunguza mambo mengi kama una uwezo weka engine kama iliyokuwepo? Au kwa ushauri zaidi nambie au twambie gari yako ina engine aina gani? ili ushauriwe vizuri.

Suala la automatic lipo kwenye gearbox na sio engine. Hapo inatakiwa uwe makini hubadili gearbox tuu bali utatakiwa kubadili pia control box ..sasa hapo kuna mara 2 kuna suzuki zingine zina control ya transmissio pembeni na nyingine control box ya engine inakuwa ina operate na gearbox hiyohiyo.

hivyo yakupasa kuelewa nn wataka kufanya maana usije ukaona kiza mbele.

kama upo dar es salaam tutafutane au hata kama upomkoani pia sio mbaya tunaweza kuja kukuhudumia *0627136700*
Mkuu mimi sikuwepo wakat wanakagua, bali aliyekuwepo anasema wamedai engine ya kubadili, anyway nipo mabibo nit , ngoja niongee na familia tuone kma utaifanya hyo kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo gari ina cc ngapi hadi uweke cc 1290, haupo serious hata kidgo unataka kuchezea hela tu. Hiyo gari speed sidhani hata utaweza kumpita kobe
sio kweli mkuu itakuwa na speed kama kawaida
 
Kama imekufa kwa corona ita serikali ikusaidie na mafundi wasizidi 10
 
Kuhusu suala la engine, kuna gari Toyota porte ilikuwa na engine cc 1490 ikapata hitilafu, sasa nataka kubadili, niweke ingine, nimepata engine ya IST cc 1290 je kunaweza kuwa na tatizo hapo nikiweka hiyo ya ist interms of perfomance?
ziko porte za 1290cc so ukiweka hio engine nadhani kutakuwa hamna shida incase gearbox inaendana nayo.
 
achana na hizo mambo za cc mkuu??. 1nz na 2nz ni aina moja ya engine tofauti ni hiso cc lkn vile vile zimefungwa kwenye body laina moja hivyo hakuna tofauti mzee usiwe mbishi

Fuatilia thread uelewe usijifanye mjuaji sana wewe
 
Fuatilia thread uelewe usijifanye mjuaji sana wewe
sasa hapo ni mm au ww?? ww uli quote post yangu na kuuliza habari za cc ndio nimekujibu kwamba achana na mambo ya cc.. sijifanyi bali kweli nimjuaji au nafaham ndio maana nachangia kwa kile kidogo nikifahamucho pole sana kama umekwazika..
 
sasa hapo ni mm au ww?? ww uli quote post yangu na kuuliza habari za cc ndio nimekujibu kwamba achana na mambo ya cc.. sijifanyi bali kweli nimjuaji au nafaham ndio maana nachangia kwa kile kidogo nikifahamucho pole sana kama umekwazika..

Ndio maana nikakuambia ungefuatilia hapo juu maana mwanzoni sikuelewa hoja, kuna member nilimuuliza akanijibu, mm nilidhani aliyeleta mada ya escudo ndio anayetaka kubadili aweke ingine ya cc 1300. Sasa nikaeleweshwa nikaelewa, wewe umekujaa mbio kunikosoaa as if issue za magari unajua wewe tu. Aya bhna mjuaji Ramadhan njema
 
Back
Top Bottom