Edson Carrington
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 216
- 636
Habari wakuu,
Ni mwezi mmoja sasa toka nigundue kuwa na maambukizi ya bacteria wa kifua kikuu na pia ni mwezi sasa toka nianze dawa zake. Na nilivyocheki kuhusu HIV nikakutwa ni negative.
Ajabu toka nianze dawa nimekuwa nikikohoa sana usiku mpaka kushidwa kupumua vizuri na nimekuwa nikipatwa na mafua makali sana kiasi cha kunisababishia kutolala vizuri.
Pia nimekuwa nikisumbuliwa sana na macho, yaani yamekuwa yakiuma sana na kuwa mekundu kwelikweli.
Naomba maoni yenu na ushauri juu ya ugonjwa huu na sababu ya jambo hili kujitokeza. Pia nini nifanye na kipi niache kufanya kwa sasa ili niweze kuwa salama. Ntashukuru sana.
Asanteni wakuu.
Ni mwezi mmoja sasa toka nigundue kuwa na maambukizi ya bacteria wa kifua kikuu na pia ni mwezi sasa toka nianze dawa zake. Na nilivyocheki kuhusu HIV nikakutwa ni negative.
Ajabu toka nianze dawa nimekuwa nikikohoa sana usiku mpaka kushidwa kupumua vizuri na nimekuwa nikipatwa na mafua makali sana kiasi cha kunisababishia kutolala vizuri.
Pia nimekuwa nikisumbuliwa sana na macho, yaani yamekuwa yakiuma sana na kuwa mekundu kwelikweli.
Naomba maoni yenu na ushauri juu ya ugonjwa huu na sababu ya jambo hili kujitokeza. Pia nini nifanye na kipi niache kufanya kwa sasa ili niweze kuwa salama. Ntashukuru sana.
Asanteni wakuu.