Wataalamu Habari Ya Wakati Huu...!
Naomba kutumia neno "Wataalamu" mana naamini kuja kwenu hapa nitapata kutatua shida yangu iliyonileta.
Mimi ni kijana ambaye ndio kwanza nimeanza kuingia rasmi kwenye ajira. Ili kuongeza kipato changu ambacho nahisi hakitokuja kunitosha hapo mbele kidogo nimefikiria kuchangamkia fursa chache nilizonazo kichwani.
Kwanza naomba kueleweka kuwa sina mtaji mkubwa sana lakini nina uwezo wa kupambana kupata mtaji wa kuanzishia biashara yangu ambapo nitaona itakuja kunilipa ndani ya muda mfupi.
Tuanze Kuziangalia
1. Nina mpango wa kupangisha fremu, niuze vitu vya kike including nguo za kike, kanga n.k
2. Nina mpango wa kununua gari ndogo isiyokula mafuta, niiweke kwenye mfumo wa Uber
3. Nina mpango wa kununua shamba nje kidogo ya jiji, huko nikafuge mifugo mbalimbali kama kuku wa kienyeji
Sasa naomba kutoka kwenu kwa uzoefu wa kufanya tathmini ya mradi kipi kati ya hapo juu kitaniwezesha kutoka kwa urahisi
Lakini pia naomba kufahamishwa jinsi ya kufanya tathmini ya mradi mpaka kuanzishwa kwake, yanii hatua kwa hatua..
Natanguliza Shukrani
Naomba kutumia neno "Wataalamu" mana naamini kuja kwenu hapa nitapata kutatua shida yangu iliyonileta.
Mimi ni kijana ambaye ndio kwanza nimeanza kuingia rasmi kwenye ajira. Ili kuongeza kipato changu ambacho nahisi hakitokuja kunitosha hapo mbele kidogo nimefikiria kuchangamkia fursa chache nilizonazo kichwani.
Kwanza naomba kueleweka kuwa sina mtaji mkubwa sana lakini nina uwezo wa kupambana kupata mtaji wa kuanzishia biashara yangu ambapo nitaona itakuja kunilipa ndani ya muda mfupi.
Tuanze Kuziangalia
1. Nina mpango wa kupangisha fremu, niuze vitu vya kike including nguo za kike, kanga n.k
2. Nina mpango wa kununua gari ndogo isiyokula mafuta, niiweke kwenye mfumo wa Uber
3. Nina mpango wa kununua shamba nje kidogo ya jiji, huko nikafuge mifugo mbalimbali kama kuku wa kienyeji
Sasa naomba kutoka kwenu kwa uzoefu wa kufanya tathmini ya mradi kipi kati ya hapo juu kitaniwezesha kutoka kwa urahisi
Lakini pia naomba kufahamishwa jinsi ya kufanya tathmini ya mradi mpaka kuanzishwa kwake, yanii hatua kwa hatua..
Natanguliza Shukrani