Naomba ushauri kozi fupi ya kusoma

Naomba ushauri kozi fupi ya kusoma

mamamkimbi

New Member
Joined
Feb 5, 2015
Posts
4
Reaction score
1
Jamani mimi nimesoma mpaka Form six nimemaliza mwaka jana Div 3....sasa nataka kusoma kozi fupi fupi ambazo zitanifanya nipate ajira kwa urahisi. Naomba mnishauri nisomee kitu gani.....

Vipi tourism wadau !?
 
Jamani mimi nimesoma mpaka Form six nimemaliza mwaka jana Div 3....sasa nataka kusoma kozi fupi fupi ambazo zitanifanya nipate ajira kwa urahisi. Naomba mnishauri nisomee kitu gani.....

Vipi tourism wadau !?
Na mshahara wako utakuwa mfupi vivyohivyo
 
Back
Top Bottom