I LOVE YOU DUCE
Member
- Mar 21, 2024
- 30
- 135
Salamu Wana bodi,
Tafadhali sana, leo kwa pamoja mnipe ushauri kama mdogo wenu na kijana anayepambania ndoto na maisha yake.
Mwezi wa saba, kwa neema ya MUNGU, namaliza shahada yangu ya kwanza ya elimu katika masomo ya sayansi hapa DUCE. Kama ilivyo mazingira ya taifa letu na ugumu wa maisha, kuna jambo linanitatiza hapa naomba ushauri wenu.
Ipo hivi, mpango wangu ulikuwa nataka nikimaliza nijikite kwenye kilimo cha mbogamboga (kwetu ni Dodoma). Demand ya mbogamboga Dodoma ni kubwa, lakini pia huko Dodoma kuna shule nimepata ya kujitolea, shule ya serikali, ambapo malipo ni laki na nusu kwa mwezi. Mkuu wa shule hiyo kaniruhusu kuwa na report muda wa vipindi vyangu tu, na apart from that nitaendelea na shughuri zangu za kilimo.
Lakini sasa, muda huo huo kuna shule hapa Dar es Salaam nimepata, wanasema watanilipa laki tatu kwa mwezi lakini muda wote wa kazi natakiwa niwe shule.
Kwa hiyo, kaka na dada, nipo kwenye dilemma sijui nichague wapi. Naomba ushauri wenu.
Tafadhali sana, leo kwa pamoja mnipe ushauri kama mdogo wenu na kijana anayepambania ndoto na maisha yake.
Mwezi wa saba, kwa neema ya MUNGU, namaliza shahada yangu ya kwanza ya elimu katika masomo ya sayansi hapa DUCE. Kama ilivyo mazingira ya taifa letu na ugumu wa maisha, kuna jambo linanitatiza hapa naomba ushauri wenu.
Ipo hivi, mpango wangu ulikuwa nataka nikimaliza nijikite kwenye kilimo cha mbogamboga (kwetu ni Dodoma). Demand ya mbogamboga Dodoma ni kubwa, lakini pia huko Dodoma kuna shule nimepata ya kujitolea, shule ya serikali, ambapo malipo ni laki na nusu kwa mwezi. Mkuu wa shule hiyo kaniruhusu kuwa na report muda wa vipindi vyangu tu, na apart from that nitaendelea na shughuri zangu za kilimo.
Lakini sasa, muda huo huo kuna shule hapa Dar es Salaam nimepata, wanasema watanilipa laki tatu kwa mwezi lakini muda wote wa kazi natakiwa niwe shule.
Kwa hiyo, kaka na dada, nipo kwenye dilemma sijui nichague wapi. Naomba ushauri wenu.