Mjinga pekee ndie atakaeshindwa kutofautisha kifaa og cha Tronic na fekiApo ndipo mnapoibiwa,,, mnauziwa vifaa vya umeme vinapigwa lebo ya Tronic basi mnaweka imani kuwa ndio super,,, Copy ni nyingi saiz..
Hata ALAF yanapauka vizuri kabisaBati ya ALAF na dragon, ipi bora, na ni ipi ambayo haipauki? Kama kuna anayejua kampunii nyingine, naomba ushauri. Na bei zake
Duuuuh .... made in ?haujakatazwa kutumia mkuu ila ni dhambi kubwa kufananisha bati za ALAF na hizo takataka za GSM zilizopakwa rangi
Kama ukikosa ALAF nenda Sunshare. Hutojutia. Hawa watu wanaagiza sheet kutoka China na South Africa wao ni kutengeneza profile tu. Fika kiwandani mtaani utaambiwa ni Alaf au Sunshare baada ya miaka 3 utaanza kulaumu kumbe ulipigwa kipindi unanunuaBati ya ALAF na dragon, ipi bora, na ni ipi ambayo haipauki? Kama kuna anayejua kampunii nyingine, naomba ushauri. Na bei zake
Ukishindwa Alaf, jaribu Sunshare
Kama ukikosa ALAF nenda Sunshare. Hutojutia. Hawa watu wanaagiza sheet kutoka China na South Africa wao ni kutengeneza profile tu. Fika kiwandani mtaani utaambiwa ni Alaf au Sunshare baada ya miaka 3 utaanza kulaumu kumbe ulipigwa kipindi unanunua
inaelekea wewe bado hujafahamu tofauti ya hizi bati mkuu, ALAF yeye sheet zake za kutengeneza bati anaagiza zikiwa zimeshachanganywa rangi kabisa kutoka huko S.A. Zinapofika bongo wao ni ku design tu aina ya bati au mikunjo kulingana na mahitaji. Hao wengine wengi wao wanapaka rangi pia lakini hazikolei hivyo baaada ya muda mfupi zinapauka.Ok, kumbe dragon,sunshire na alaf wote wananunua sheet zenye rangi na kuzikunja tu, but alaf wamebakia na jina kuu
Baada ya muda gani? hakuna kunachodumu mileleHata ALAF yanapauka vizuri kabisa
Je kwenda kuagiza kiwandani gharama ya usafiri inakuwaje?Baada ya muda gani? hakuna kunachodumu milele
Asante sana kwa mchanganuoKwa hapa bongo kampuni ni
1:Alaf (nime zi piga sana hazina shida)
2:sunshare(wako vizuri mno wamezidiana umaarufu tu na Alaf)
3:kiboko (hawa jamaa wako vizuri ila kunamwaka waliingiziwa material fake hii ndo iliwachafulia jina
4:sunder(nao hawapo nyuma batizao nzuri ila kwenye gauge changamoto kidogo)
5:hando (tangu ianze kutumika Tanzania haina muda mrefu kwahiyo bado sjaona ubora wao mana hata miaka mitatu bado)
6:bati bomba sjazitumia sanaa
Kwa hapa bongo kampuni ni
1:Alaf (nime zi piga sana hazina shida)
2:sunshare(wako vizuri mno wamezidiana umaarufu tu na Alaf)
3:kiboko (hawa jamaa wako vizuri ila kunamwaka waliingiziwa material fake hii ndo iliwachafulia jina
4:sunder(nao hawapo nyuma batizao nzuri ila kwenye gauge changamoto kidogo)
5:hando (tangu ianze kutumika Tanzania haina muda mrefu kwahiyo bado sjaona ubora wao mana hata miaka mitatu bado)
6:bati bomba sjazitumia sanaa
Kila mtu amekariri Alaf na Dragon kama jins watu wengi wanavyoamini kampuni ya Tronic ndio inavifaa bora pekee vya umeme,,,,
Tusikariri vitu,, kuna kampuni mpya ya bati inaitwa POLARIS iko poa kinoma na unachukua mzigo kiwandani pia bei iko vizuri sana, bati imara sana aiseee
Nenda Mbeya Mjini kiwanda kipo.Mimi niko vwawa mbozi mkoa wa songwe hakuna kiwanda nitafanyaje mkuu.
Kuhusu oder Alaf wanasumbua sana mana wanakua na wateja wengi mpaka material yanawaishia mfano muda huu yamekwisha wanaanza uzalishaji tarehe nne february kama sjakosea lakini sunshare wao oder zao zinakua poa sanaDar kiwanda kiko wapi? Na oda zao hazichukui muda?
Mimi nazitafuta maana Nimeambiwa zipo adimu na bei imepanda. Kumbe mpaka mwezi wa 2 dah.Kuhusu oder Alaf wanasumbua sana mana wanakua na wateja wengi mpaka material yanawaishia mfano muda huu yamekwisha wanaanza uzalishaji tarehe nne february kama sjakosea lakini sunshare wao oder zao zinakua poa sana
Halafu Alaf kuna mchezo wanaufanya sasahivi imekua aibu sana mfano ile bati ya mfano wa ligae kuna ya mafuta na yamchanga hii ya mafuta haina shida lakini hii ya mchanga hawitendei haki kabisa yani yamepungua ubora hata ukigusa kwa mkono ule mchanga yani hata huhisi kama ni mchanga tofauti na za zamani