Rodrigoleonard
Member
- Sep 24, 2021
- 8
- 6
Nataka kufanya biashara ya mayai ila nataka kununu DARESALAM kuyaleta Zanzibar. Itakuwa nauza jumla na reja reja
Na ombeni ushauri wema?
Je, niaze na mtaji wa kias gani?
Na je vitu itapata faida kweli?
Na ombeni ushauri wema?
Je, niaze na mtaji wa kias gani?
Na je vitu itapata faida kweli?