mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
Hivyo vigari havifai ase ,unaweza kununua leo na kesho tu kikaharibika, wkt hata hujaanza kupata faida, una jikuta unakopa kwa ajili ya matengenezo mara kwa mara, bora hata ununue bajaji three wheeler na ni vyema zaidi u kaendesha we mwenyewe kama una mda.