Streptokinase
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 276
- 436
Wakuu katika kuhangaika kwangu nimejichanga changa sana hadi sasa nina kama milion 10 za kitanzania, lengo ni kupata 'goli' kariakoo na kufanya biashara ya nguo za kiume.
Nimekuja hapa kuomba ushauri na maoni, na kama naweza kupatiwa changamoto ambazo nitegemee kukutana nazo katika safari yangu hii mpya ya kutafuta maisha.
Nawasilisha
Nimekuja hapa kuomba ushauri na maoni, na kama naweza kupatiwa changamoto ambazo nitegemee kukutana nazo katika safari yangu hii mpya ya kutafuta maisha.
Nawasilisha