Naomba ushauri kuhusu biashara ya kupika kitimoto

Magari ya kukodisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2019
Posts
412
Reaction score
695
Wakuu habari za miaka

Moja kwa moja niende kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyosema

Kwa mwenye uzoefu wa biashara ya kuuza kitimoto roast au ya kuchoma na makange ya kitimoto naomba anijuze anipe ushaur na changamoto za kuchukua. Ikikupendeza niambie kila unachofahamu kuhusu biashara hii

Natanguliza shukrani za dhati
 
Uwe unatoa details zakutosha kuanzia eneo upo nk alafu bila picture hainogi
 
Kitimoto
 
Tafuta connection na wateja ivyo tu
 
Wengi waizi wanaibaiba nyama tafuta wafanyakazi ambao wameshiba hawana tamaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…