Naomba ushauri kuhusu biashara ya Maziwa mtindi na Maziwa fresh

Naomba ushauri kuhusu biashara ya Maziwa mtindi na Maziwa fresh

Hot27

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2020
Posts
372
Reaction score
691
Habari za wakati huu ndugu zangu wa JF, tukiendelea na mapambano ya kila siku

Kwenye harakati za mapambano nimefikiria kutafuta eneo kwa ajili ya kuuza maziwa ikibidi kuongeza na bites na vitu vingine.

Nimefikiria kupata maziwa fresh, maziwa mtindi, Asas (pamoja na yogurt), Tanga Fresh na mengineyo kwa pamoja ili kuwa na uwanja mpana kwa wateja. Kisha niwe na glass mbili-tatu, meza moja na viti hata viwili kwa kuanzia.

NAOMBA NIPATE MSAADA WA :-

1. ENEO

Nimekuwa nikitafuta eneo Buguruni Malapa na Ilala, kwa mwenye fremu maeneo hayo au hata pengine palipochagamka namkaribisha

2. Kwa aliyewahi kufanya je inalipa?

4. Changamoto zake ni zipi?

NYONGEZA.

Je, nikiamua kudeal na maziwa ya aina moja tu ya kiwandani mfano Asas pekee kuna faida yoyote kutoka kwao (Kwa kuwa kama wakala wao)?
 
Habari za wakati huu nduguzangu wa JF tukiendelea na mapambano ya kilasiku
Kwenye harakati za mapambano nimefikiria kutafuta eneo kwaajiri ya kuuza maziwa ikibidi kuongeza na bites na vitu vingine.
Nimefikiria kupata maziwa fresh, maziwa mtindi, Asas (pamoja na yogurt) , Azam na mengineyo kwa pamoja ili kuwa na uwanja mpana kwa wateja. Kisha niwe na glass mbilitatu, meza moja na viti hata viwili kwa kuanzia.
NAOMBA NIPATE MSAADA WA :-
1. ENEO
Nimekuwa nikitafuta eneo Buguruni Malapa na Ilala, kwa mwenye fremu maeneo hayo au hata pengine palipochagamka namkaribisha

.3. Kwa aliyewahi kufanya je inalipa?

4. Changamoto zake ni zipi?

NYONGEZA.
Je, nikiamua kudeal na maziwa ya aina moja tu ya kiwandani mfano Asas pekee kuna faida yoyote kutoka kwao (Kwakuwa kama wakala wao)
Changamoto kubwa nikukatika katika kwa umeme lazima uwe na standby generator.
 
Changamoto kubwa nikukatika katika kwa umeme lazima uwe na standby generator.
Duh! Shukrani. Ila generator sio gharama sana hasa kwa mimi ninayeanza kuchakarika
 
Duh! Shukrani. Ila generator sio gharama sana hasa kwa mimi ninayeanza kuchakarika
Sawa ila nafikiria utakua na deep frezer kubwa sana za kuhifadhia maziwa na generator lazima iwe kubwa kuwasha zote.
 
Sawa ila nafikiria utakua na deep frezer kubwa sana za kuhifadhia maziwa na generator lazima iwe kubwa kuwasha zote.
Acha niliweke kwenyehesabu nalo juu ya umuhimu wake. Shukrani kiongozi
 
Wapo wengi wanapendelea maziwa halisi haya hakikisha unayaweka mwenyewe napendelea sana. Usafi ni muhimi na ndicho kipaumbele cha kwanza usafi wa eneo na wewe binafsi pia chungulia fursa kwa eneo la mbezi mwisho . Watu wanaporudi majumbani jion sio mbaya kujipatia hata glasi moja ya maziwa na kusemezana mawili matatu kabla ya kufika home, wengine wananunua pia kwajili ya kulia mybe ugali nyumbani ambao hawana muda wa kwenda kuhangaika na mapishi jioni sabau ya uchovu baada ya kazi.
 
Wapo wengi wanapendelea maziwa halisi haya hakikisha unayaweka mwenyewe napendelea sana. Usafi ni muhimi na ndicho kipaumbele cha kwanza usafi wa eneo na wewe binafsi pia chungulia fursa kwa eneo la mbezi mwisho . Watu wanaporudi majumbani jion sio mbaya kujipatia hata glasi moja ya maziwa na kusemezana mawili matatu kabla ya kufika home, wengine wananunua pia kwajili ya kulia mybe ugali nyumbani ambao hawana muda wa kwenda kuhangaika na mapishi jioni sabau ya uchovu baada ya kazi.
Shukrani mkuu, nitazingatia sana hili.
 
Back
Top Bottom