Philemon2008
Member
- Dec 17, 2022
- 20
- 11
Habari za wakati huu wapendwa.
Naomba kufahamu Bei halisi ya ununuzi wa gunia za Mahindi, mchele, maharage.
Pia gharama za usafirishaji kutoka mikoa mbali mbali Nchini Tanzania 🇹🇿
Asante.
Naomba kufahamu Bei halisi ya ununuzi wa gunia za Mahindi, mchele, maharage.
Pia gharama za usafirishaji kutoka mikoa mbali mbali Nchini Tanzania 🇹🇿
Asante.