Naomba ushauri kuhusu biashara ya nafaka

Philemon2008

Member
Joined
Dec 17, 2022
Posts
20
Reaction score
11
Habari za wakati huu wapendwa.

Naomba kufahamu Bei halisi ya ununuzi wa gunia za Mahindi, mchele, maharage.

Pia gharama za usafirishaji kutoka mikoa mbali mbali Nchini Tanzania 🇹🇿

Asante.
 
Unaomba ushauli kutokea Nairobi au kampala?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…