Naomba ushauri kuhusu biashara ya Studio za kuuza movie na game stations

Naomba ushauri kuhusu biashara ya Studio za kuuza movie na game stations

Eric Salema

New Member
Joined
Apr 24, 2022
Posts
1
Reaction score
2
Habari zenu wadau?

Natumai mpo salama na mnaendelea vizuri na majukumu ya kila siku. Mimi ni kijana mtafutaji. Tafadhali naomba ushauri kwa wale wenye ujuzi kuhusiana na suala la Studio za kuuza movie na game stations.

Je ikiwa nina mtaji wa milion 3 itatosha kufungua ofisi ya kurusha movie na miziki? Hali kadhalika play station (PS)?

Tafadhali naomba ushauri na ufafanuzi katika hili. Location niliyopo nimefanya tathmini inafaa kwa biashara hii.
 
M3 ni mtaji sahihi sana Kwa Library yaan kurusha movie na miziki,,nunua Mashine Yako i7,nunua na disc TB16,..weka na uuzaj wa charger,Airphone,USB na accessories za kutosha...Movie pekee na miziki Kwa siku hukosi SI chini ya 30,ambayo hyo hela utakuja igusa Kila j4 ambapo movie mpya znatoka,ni biashara yenyew faida asilimia 99...Kwa msaada Zaid njoo Dm
 
M3 ni mtaji sahihi sana Kwa Library yaan kurusha movie na miziki,,nunua Mashine Yako i7,nunua na disc TB16,..weka na uuzaj wa charger,Airphone,USB na accessories za kutosha...Movie pekee na miziki Kwa siku hukosi SI chini ya 30,ambayo hyo hela utakuja igusa Kila j4 ambapo movie mpya znatoka,ni biashara yenyew faida asilimia 99...Kwa msaada Zaid njoo Dm
Mkuu nikitaka movies nyingi sana nijaziwe kbs kwenye tb16 ni shingapi
 
Back
Top Bottom