M3 ni mtaji sahihi sana Kwa Library yaan kurusha movie na miziki,,nunua Mashine Yako i7,nunua na disc TB16,..weka na uuzaj wa charger,Airphone,USB na accessories za kutosha...Movie pekee na miziki Kwa siku hukosi SI chini ya 30,ambayo hyo hela utakuja igusa Kila j4 ambapo movie mpya znatoka,ni biashara yenyew faida asilimia 99...Kwa msaada Zaid njoo Dm