Naomba ushauri kuhusu biashara ya vyuma chakavu

Chalii kama una mpunga walau 7 to 8 unaweza anzaa na chuma pekee achana na ma brass copper etc. hilo la polisi ni ww na nyokaa wako kuwa na msimamo, achana na nyara za serikali kama reli etc. vingine vyote vinazungumizika piga moyo konde anza
 
Shukran[emoji122][emoji122]
 
Chalii kama una mpunga walau 7 to 8 unaweza anzaa na chuma pekee achana na ma brass copper etc. hilo la polisi ni ww na nyokaa wako kuwa na msimamo, achana na nyara za serikali kama reli etc. vingine vyote vinazungumizika piga moyo konde anza
Well said bro
 
Mimi nina chuma zapata kama kilo 700... ni wapi sehem sahihi kuziuza.. naogopa uku mitaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…