@prondo njooHabari wadau wa jamiiforums,
Nimetokea kuipenda hii FORD ESCAPE XLT 2008, hizo chini ndiyo specs zake naombeni ushauri juu ya mafundi, spares na changamoto za gari hii. Thanks.
View attachment 1887962
SPECS
LOCATION YOKOHAMA
Mileage Year Engine Trans. Fuel 121,307 km 2008/7 2,260cc AT Petrol
Max.Cap Ref. No. BK223863 Mileage 121,307 km Chassis No. LFACTMWNX82000402 Engine Code L3 Model Code ABA-LFAL3F Steering Right Engine Size 2,260cc Ext. Color Silver Location YOKOHAMA Fuel Petrol Version/Class XLT Seats 5 Drive 4wheel drive Doors 5 Transmission Automatic M3 14.343 Registration
Year/month2008/7 Dimension 4.48×1.84×1.74 m Manufacture
Year/monthN/A Weight 1,550 kg
Gari ya kazi hiyo. Popote unakatiza bila wasiwasiDuh hii kweli Massawe imenuna hatari
Nimehama Toyota mazimaSisi Timu Kukariri Toyota hatuwez kukupa ushauri mzuri, Ila kwa kifupi niseme Gari ni matunzi yako tu, hivyo hiyo Ford Escape imiliki tu na uitunze vyema.
Bro wangu ana miliki Mazda Tribute ambae ni pacha wa Ford Escape na anadunda nayo vzr tu kiasi ameni-i spire nihame Toyota nami ntafute brand nyingne nitambe😋😋
Hongera. Umehamia brand gani Kaka?Nimeh
Nimehama Toyota mazima
Mitsubishi PajeroHongera. Umehamia brand gani Kaka?
Hongera Kaka. Ngoja tukae humoMitsubishi Pajero
Sisi tunanunua gari za kijapan tunaonekana hatujui fasheniAagize tu mafundi hawakosekani ila ajue tu maintainance costs hazitakuwa sawa na gari ya kijapani
🤣🤣🤣🤣Sisi tunanunua gari za kijapan tunaonekana hatujui fasheni
Ukishindwa befoward basi SBTVikampuni vya kuagiza Magari vimeibuka Kama uyoga. Wabongo wanapigwa mchana peupe
Nimecheka sana😅FORD - Fix Or Repair Daily
Be Forward Bei zao zipo poa Sana. Customer service ya maanaUkishindwa befoward basi SBT
... Mkuu Ford Escape ni made in Japan.Aagize tu mafundi hawakosekani ila ajue tu maintainance costs hazitakuwa sawa na gari ya kijapani