Naomba ushauri kuhusu gari aina ya Mazda Atenza 2015

Mkuu assante sana natunai umenipa nguvu ya kuchukua hii chuma naona nichukue model ya 2015 assante pia natumai hii kitu itakuwa na comfort nzuri tu
 
Mkuu assante sana natunai umenipa nguvu ya kuchukua hii chuma naona nichukue model ya 2015 assante pia natumai hii kitu itakuwa na comfort nzuri tu
Kwanini unataka uchukue ya 2015? Tuanzie hapo.
Najua inatofauti na ya 2014.

Ya mwaka 2014 hii hapa:


Ya mwaka 2015 hii hapa:



Mi nikichukua 2015 coz napenda Electronic E-Brake, iyo redio ilivokaa hapo juu na iDrive like knob.

Nje zipo sawa kasoro Grille, LED lights na that Fucking Grill Strip kwenye 2015 Model.

Kama una hela chukua ya 2016 ina pedestrian detection sensor. Gimmicky!
 
Iyo handbrake ndio sababu kubwa kukimbia 2014 mkuu, kama bei hazitopishana sana ntachuku 2016
 
Mie ni mpenzi sana wa sedans na nilipanga nikibadili gari basi nihamie Mazda Atenza. Changamoto imekuja kwenye makazi ya kudumu. Umbali wa kutoka nyumbani (rough road) ni 7km (return) hadi kufika barabara ya lami. Barabara si rafiki kwa sedans au hatchback/station wagons. Nilibadili uamuzi kinyonge. Nilikuwa napenda sana body ya 2008-2010.
 
All in all, nikifananisha na 3 series, uyu nampa 7/10 wakati BM nampa 5/10 hivi. Wajerumani wakina PureView zeiss mtanisamehe. Sirudi Uko kamwe.

PS: Kama upo Ubungo siku njoo upige misele kidogo ufanye maamuzi.
Kipindi Kile Cha Nyuma Wakati Ndio Ulikuwa Ndio Mjerumani Haswa Adolf Hilter Kabisa Ulikuwa Uambiwi Kitu.

Sasa Avatar Yao Uwarudishie.
 
Wadau samahani tena nauliza kuna utofauti kati ya mazda atenza na mazda 6 mana naona beforward wamezitofautisha

Mazda 6 nadhani ni kwa soko la marekani na Canada ila kimsingi ni gari hilo hilo. Tofauti ni ndogo ndogo sana kama zipo, labda taa, upholstery n.k ili tu kutofautisha
 
Mazda 6 nadhani ni kwa soko la marekani na Canada ila kimsingi ni gari hilo hilo. Tofauti ni ndogo ndogo sana kama zipo, labda taa, upholstery n.k ili tu kutofautisha
Assante mkuu maana nimeona zipo za Singapore nyingi ni petrol na za japani nyingi ni diesel pia bei za japan zimechangamka sasa niko kwenye kufanys maamuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…