Naomba ushauri kuhusu gari aina ya Subaru impreza na Toyota allion

Buti la mkoloni

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
312
Reaction score
850
Naombeni ushauri, nipo mbion kuagiza gari na hizo gari tajwa hapo juu ndio machaguo yangu, kikubwa ninachokipendea kutoka ktk hzo gari ni muonekano lakini sina budi kuchagua moja kati ya hizo hvyo naomba msaada wa ushauri wataalam based on technical problem experience.

NB: Ndio itakuwa mara yangu ya kwanza kumilki gari.
 
Ukichukulia point ya economy (maintenance cost na running cost) chukua allion. Ukitaka performance and style bila kuzingatia hizo gharam za hapo juu, chukua Subie. Angalia nafsi yako imekaa wapi.


Sent from my SM-A205F using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…