Kama utapata sehemu walio waaminifu lipia mbao kabisa huku ukijichanga hela ya bati.Wakuu nawasalimu kwa jina la jamuhuri....nna kaujezi kapo kwenye level ya kupaua sasa pesa ya mbao ipo mfuko wa shati ila ya bati itapatkana baada ya kama mwezi na nusu. Mimi nlitaka kuweka hii pesa mpk ninunue bati ambazo ntaomba ushauri mda ukifika. Ila kwa sasa naomba ushauri maana fundi ananihakikishia tunaweza kupigilia mbao tukisubiri bati yani mbao zikae juu ya mjengo mwezi unusu kungoja bati. Binafsi naogopa sana kwanza je mvua haiwezi kuharibu mbao? Je wezi hawawezi kupita nazo japo zimebondelewa misumari? Wenu mtiifu
Wakuu nawasalimu kwa jina la jamuhuri....nna kaujezi kapo kwenye level ya kupaua sasa pesa ya mbao ipo mfuko wa shati ila ya bati itapatkana baada ya kama mwezi na nusu. Mimi nlitaka kuweka hii pesa mpk ninunue bati ambazo ntaomba ushauri mda ukifika. Ila kwa sasa naomba ushauri maana fundi ananihakikishia tunaweza kupigilia mbao tukisubiri bati yani mbao zikae juu ya mjengo mwezi unusu kungoja bati. Binafsi naogopa sana kwanza je mvua haiwezi kuharibu mbao? Je wezi hawawezi kupita nazo japo zimebondelewa misumari? Wenu mtiifu
We kalipie mbao siku ukinunua mabati chukua mbao kapaue unaweza kufanya ulivyosema lakini siku ya kuweka bati lazima kuanza kunyoosha purlin tenaWakuu nawasalimu kwa jina la jamuhuri....nna kaujezi kapo kwenye level ya kupaua sasa pesa ya mbao ipo mfuko wa shati ila ya bati itapatkana baada ya kama mwezi na nusu. Mimi nlitaka kuweka hii pesa mpk ninunue bati ambazo ntaomba ushauri mda ukifika. Ila kwa sasa naomba ushauri maana fundi ananihakikishia tunaweza kupigilia mbao tukisubiri bati yani mbao zikae juu ya mjengo mwezi unusu kungoja bati. Binafsi naogopa sana kwanza je mvua haiwezi kuharibu mbao? Je wezi hawawezi kupita nazo japo zimebondelewa misumari? Wenu mtiifu
Usifanye hivyo mkuuu utaingia cost mara mbili...fundi anachotaka ni hela yako tu.....ukigonga hizo mbao zikipigwa na mvua then jua....zitapinda na ubora utapoteaWakuu nawasalimu kwa jina la jamuhuri....nna kaujezi kapo kwenye level ya kupaua sasa pesa ya mbao ipo mfuko wa shati ila ya bati itapatkana baada ya kama mwezi na nusu. Mimi nlitaka kuweka hii pesa mpk ninunue bati ambazo ntaomba ushauri mda ukifika. Ila kwa sasa naomba ushauri maana fundi ananihakikishia tunaweza kupigilia mbao tukisubiri bati yani mbao zikae juu ya mjengo mwezi unusu kungoja bati. Binafsi naogopa sana kwanza je mvua haiwezi kuharibu mbao? Je wezi hawawezi kupita nazo japo zimebondelewa misumari? Wenu mtiifu