Jamani natamani ninunue iPhone, ila nakatishwa tamaa na watu wanaoniambia App zake na android haziko compatible.
Mara nitashindwa kushare docs na mtu wa android mara kuna applications ambazo ukiinstals zi akataa.
Naombeni mnaotumia mnisaidie mawazo kabla sijafanya maamuzi ya kunjnua iPhone 12 promax.