IPILIMO
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,819
- 801
Hello JF Members
Mwaka 2013 nilifingua Kampuni (private limited company) ya Project Consultancy services & Sourcing and supplying general goods.
Ofisi nimeanzia jijini Mbeya, katika hali ya uchanga wake nimejitahidi kumarket shughuli za ofisi, mrejesho umekuwa mgumu sana, hasa sababu zikiwa; Walengwa wengi kutokuwa na utayari , watu wengi kutoendesha miradi yao kitaalamu, mzunguko mdogo wa fedha mikoani, uelewa mdog, wengi wateja walioko Dsm au kwingine na hata hapa Mby wanayo imani zaidi kwa Firms zilizopo dar.
Kutokana na hilo na kwakuwa ni mwenyeji jijini Dsm, Plan yangu ni KUHAMISHIA ofisi hii DSm!
Kabla sijafanya hivyo natafuta Justification na ushauri zaidi kutoka kwa yeyote mwenye NIA ya kuchangia mawazo.
Asanteni!
Mwaka 2013 nilifingua Kampuni (private limited company) ya Project Consultancy services & Sourcing and supplying general goods.
Ofisi nimeanzia jijini Mbeya, katika hali ya uchanga wake nimejitahidi kumarket shughuli za ofisi, mrejesho umekuwa mgumu sana, hasa sababu zikiwa; Walengwa wengi kutokuwa na utayari , watu wengi kutoendesha miradi yao kitaalamu, mzunguko mdogo wa fedha mikoani, uelewa mdog, wengi wateja walioko Dsm au kwingine na hata hapa Mby wanayo imani zaidi kwa Firms zilizopo dar.
Kutokana na hilo na kwakuwa ni mwenyeji jijini Dsm, Plan yangu ni KUHAMISHIA ofisi hii DSm!
Kabla sijafanya hivyo natafuta Justification na ushauri zaidi kutoka kwa yeyote mwenye NIA ya kuchangia mawazo.
Asanteni!