babukatunz
Member
- Jan 11, 2016
- 38
- 45
Jamani nilifungua kampuni kwa shughuli za uvuvi na shughuli nyingine lakini lengo ilikuwa kufanya shghuli za uvuvi na uuzaji wa bidhaa zitakanzo na uvuvi, lakini mwezeshaji alizingua.
Ushauri wenu nauhitaji ni nini nifanye na mtaji ulikata
Ushauri wenu nauhitaji ni nini nifanye na mtaji ulikata