Naomba ushauri kuhusu kilimo Cha maharage Wilayani Kwimba

Naomba ushauri kuhusu kilimo Cha maharage Wilayani Kwimba

Jkitamoga

Member
Joined
Jul 25, 2021
Posts
33
Reaction score
11
Niko wilaya ya kwimba napenda kujua kama maharage yanaweza kusitawi vizuri kwenye udongo mweusi (mfinyanzi) maana ninaeneo la aina hiyo na liko karibu na chanzo Cha maji.

Naomba ushauri wako.
 
Wilaya ya Kwimba, ndani ya Mkoa wa Mwanza. Hii Wilaya ipo nyuma sana aisee. Wewe lima tu mzee , wasukuma wanalima Mahindi na Maharage hapo kwimba miaka nenda rudi.
 
Back
Top Bottom