Naomba ushauri kuhusu kiwango cha mtaji wa biashara hii

Naomba ushauri kuhusu kiwango cha mtaji wa biashara hii

canne siame

Member
Joined
Sep 17, 2015
Posts
5
Reaction score
5
Habari za muda huu wakubwal!!
Naomba kupata ushauri kidg
Kama ninahitaji kuwa na
biashara & huduma ifuatayo ninahitaji mtaji kiasi gani (kiasi cha chini kabisa).

Kuuza vifaa vya simuu
(Betry earphone memory card n.k)

Ufundi simu na redio

Vifaa vya umeme wa sola (location
hakuna umeme ni solar tuu)

Librarymahitaji ni computer solar&
betry yake, spika na redio)

Kusajili lain & kuuza vifurushi na vocha
(mahitaji smartphone na scanner)

USHAURI TU HATA NATUSI
NTASHUKURU

lakini kati ya hvyo unaeza shauri vya
kuanza navyo kama ni ngumu kuanza
na vyote

Kumbuka swali linasema
"Kiwango cha chini kabisa cha mtaji
hapo itahitajika shilingi ngapi??"

Natanguliza shukrani zangu kwakoo
ulietumia muda wako kusoma ujumbe
huu
 
Habari za muda huu wakubwal!!
Naomba kupata ushauri kidg
Kama ninahitaji kuwa na
biashara & huduma ifuatayo ninahitaji mtaji kiasi gani (kiasi cha chini kabisa).

Kuuza vifaa vya simuu
(Betry earphone memory card n.k)

Ufundi simu na redio

Vifaa vya umeme wa sola (location
hakuna umeme ni solar tuu)

Librarymahitaji ni computer solar&
betry yake, spika na redio)

Kusajili lain & kuuza vifurushi na vocha
(mahitaji smartphone na scanner)

USHAURI TU HATA NATUSI
NTASHUKURU

lakini kati ya hvyo unaeza shauri vya
kuanza navyo kama ni ngumu kuanza
na vyote

Kumbuka swali linasema
"Kiwango cha chini kabisa cha mtaji
hapo itahitajika shilingi ngapi??"

Natanguliza shukrani zangu kwakoo
ulietumia muda wako kusoma ujumbe
huu
sasa hapo mbona haujaweka mvhanganuo vizur?
 
Back
Top Bottom