Mkuu,nahtaj Unisaidie Garama Kwa Mwaka Coz Nami Ni Miongon Mwa Wanao Htaj Kupga C.O,
Asante Mkuu!
unataka kwa chuo gani...
maana ada zinatufautiana... vyuo vya serikali ni chini ya 1mil, vyuo vya private vingi vinaanzia 2mil mpaka 4mil kwa mwaka..
lakini pia kama kweli una huo mpango,mi nadhani kwa huu mwaka umechelela, watu wameishafanya udahili. subiri mwakani ndio uombe.. mara nyingi udahili huanza mwezi wa 3 au wa 4 na kufungwa mwezi wa 5mwishoni au wa 6 mwanzoni..masomo huanza mwezi wa 9 mwishoni au wa 10.
Hapana cheti chako cha form four ndio kinachotumiwa kukupa nafasi ya masomo ila ni lazima uanzie ngazi ya certificate yaan NTA LV 4. Sio lazima uwe umemaliza form 6
Anayejua ada ya machame c/o anijuze