Naomba ushauri kuhusu kufungua duka la nguo za kike

noelahope

Member
Joined
Sep 6, 2018
Posts
19
Reaction score
13
Habari wakuu...najua hapa kuna watu ambao tunaweza kusaidiana kimawazo kufikia malengo...nilitaka kujua wadau kufungua duka LA nguo za wanawake kwa sasa serikali inatakiwa kulipa ushuru kiasi gani kwenye ile mashine....kwa kuwa mipakani tunapopita tunalipa then mzigo ukifika dukani tena tunatakiwa kulipaje ili kuona faida katika kazi... Natanguliza shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…