2015ready
JF-Expert Member
- Feb 15, 2011
- 376
- 138
Habari za asubuhi ndugu zangu
Nina kuku chotara wakubwa na wanataga mayai. Lakini ndani ya wiki wameanza kuvimba miguu kwenye ankle. Alafu naona kama wanaambukizana. I je, huu ni ugonjwa gani, na tiba yake ni nini?
NAOMBA USHAURI WA HARAKA TAFADHALI
Nina kuku chotara wakubwa na wanataga mayai. Lakini ndani ya wiki wameanza kuvimba miguu kwenye ankle. Alafu naona kama wanaambukizana. I je, huu ni ugonjwa gani, na tiba yake ni nini?
NAOMBA USHAURI WA HARAKA TAFADHALI