Naomba ushauri kuhusu kuku

2015ready

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2011
Posts
376
Reaction score
138
Habari za asubuhi ndugu zangu
Nina kuku chotara wakubwa na wanataga mayai. Lakini ndani ya wiki wameanza kuvimba miguu kwenye ankle. Alafu naona kama wanaambukizana. I je, huu ni ugonjwa gani, na tiba yake ni nini?
NAOMBA USHAURI WA HARAKA TAFADHALI
 
Habari za asubuhi ndugu zangu
Nina kuku chotara wakubwa na wanataga mayai. Lakini ndani ya wiki wameanza kuvimba miguu kwenye ankle. Alafu naona kama wanaambukizana. I je, huu ni ugonjwa gani, na tiba yake ni nini?
NAOMBA USHAURI WA HARAKA TAFADHALI
 

Attachments

  • IMG_20190403_113120232.jpg
    221.6 KB · Views: 52
  • IMG_20190403_113126695.jpg
    160.5 KB · Views: 54
  • IMG_20190403_113113128.jpg
    207.7 KB · Views: 44
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…