flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,860
- 6,390
Habari ndugu zangu, mimi mwaka juzi nilienda Manispaa kwa ajili ya kukata leseni ya biashara kwa mara yangu ya kwanza ila kwa bahati mbaya sikulipia waliponipa lile karatasi ili nikalipie nikawa nimelitelekeza nakuendelea na mishe nyingine yaani inshort ile biashara sikuifanya.
Kwa sasa kuna biashara nataka kuifungua sindio nikaenda ili kulipia leseni yangu ili nianze rasmi biashara. Aiseee deni nililolikuta sio mchezo kumbe toka wakati ule wanahesabu tu hali ya kuwa biashara ile sikuifanya.
Je nauliza nitumie njia gani kuliua hilo deni bila kulilipa ili nikate leseni mpya ili nianze biashara kihalali kwa kulipia kodi zote. Maana muhudumu mwenyewe ni mkorofi sana sio mtu wakuelewesha pindi unapomuuliza ili akueleweshe.
Kiukweli ile biashara mimi sikuifanya na wala nilikuwa sijui kama ukitaka kuisimamisha leseni ili isiendelee kusoma kule itakubidi urudi utoe taarifa nilikuwa silijui hilo.
Kwa sasa kuna biashara nataka kuifungua sindio nikaenda ili kulipia leseni yangu ili nianze rasmi biashara. Aiseee deni nililolikuta sio mchezo kumbe toka wakati ule wanahesabu tu hali ya kuwa biashara ile sikuifanya.
Je nauliza nitumie njia gani kuliua hilo deni bila kulilipa ili nikate leseni mpya ili nianze biashara kihalali kwa kulipia kodi zote. Maana muhudumu mwenyewe ni mkorofi sana sio mtu wakuelewesha pindi unapomuuliza ili akueleweshe.
Kiukweli ile biashara mimi sikuifanya na wala nilikuwa sijui kama ukitaka kuisimamisha leseni ili isiendelee kusoma kule itakubidi urudi utoe taarifa nilikuwa silijui hilo.