Jaman nna shamba langu huko rufiji kata ya kitembo,sasa nlikuwa naomba kama kuna surveyor humu ndan akansaidie kupima nsije nkawa nmenunua eneo la makaburi.....!!!
Pole mkuu kwa kuchelewa kupata majibu humu.Sijui umeshapata Surveyor?km bado nipigie nikuunganishe na Surveyor wangu akufanyie hiyo kazi.Namba zangu 0784054226
Jaman nna shamba langu huko rufiji kata ya kitembo,sasa nlikuwa naomba kama kuna surveyor humu ndan akansaidie kupima nsije nkawa nmenunua eneo la makaburi.....!!!