My Joash
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 270
- 214
Wakuu salam kwenu,
Nimeanza kufuga kuku wachache ,ila shida imekuja walipoanza kutotoa, vifaranga wanashusha mabawa na kufa, nimeuliza nikaambiwa ni pumba inawakaba, mwingine akaniambia ni gombora au baridi. Naombeni ushauri wa mawazo na utaalamu nini nifanye ili vifaranga wapone.
Ni kuku wa kienyeji
Nimeanza kufuga kuku wachache ,ila shida imekuja walipoanza kutotoa, vifaranga wanashusha mabawa na kufa, nimeuliza nikaambiwa ni pumba inawakaba, mwingine akaniambia ni gombora au baridi. Naombeni ushauri wa mawazo na utaalamu nini nifanye ili vifaranga wapone.
Ni kuku wa kienyeji