mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Wakuu nina rafiki yangu anataka kununua toyota noah (family car). Amekuja kuniomba ushauri lakini na mimi ni mtupu kuhusu aina hii ya magari. Mwenye ufahamu jamani tunaomba ushauri kuhusu hizi gari. Binafsi niliwahi kusikia maneno ya mitaani kuwa kuna modeli fulani ya noah inasumbua injini (manufacturer fault), je hili lina ukweli? Je, ni modeli gani isiyosumbua?
Wadau tunaomba ushauri ili huyu bwana afanye maamuzi sahihi
Wadau tunaomba ushauri ili huyu bwana afanye maamuzi sahihi