Naomba ushauri kuhusu Toyota surf

Black Legend

Senior Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
174
Reaction score
301
Habari vipi wadau katika jamvi hili la Jf Garage, naomba kupata msaada wa gari hizi aina ya Toyota surf.
1. Generation gani ni imara zaidi?
2. Upatikanaji wa spare zake...
3. Costs/Gharama za ununuaji....
4. NK.
Ahsanteni
 
Iyo uipate engine 1kz turbo intarcool diesel baaasi,tofauti na iyo izo gari za petrol kwa kuchemsha na kuua cyrinder head hazijambo
 
Ahsante kwa ushauri mdau, vipi kuhusu generation, bei zake na upatikanaji wa spare parts zake hapa bongo...?
 
Mi ninayo ina miaka mitatu aisee, za diesel ni shiiida, za petrol ndio magoli engine 3rz zinatembea balaaaa sema tu nyuma hazina balance ni nyepesi na ili ukimbie tia mzigo kwenye boot, sijawahi gusa engine sema kifuani kuna hitaji seevice za mara kwa mara mara ball joint mara hubb ndio hilo tu ila ziko very comfortable hata foil yake ipo bomba mi naitumia singea huku
 
Habari vipi wadau katika jamvi hili la Jf Garage, naomba kupata msaada wa gari hizi aina ya Toyota surf.
1. Generation gani ni imara zaidi?
2. Upatikanaji wa spare zake...
3. Costs/Gharama za ununuaji....
4. NK.
Ahsanteni
View attachment 537392

Hiyo gari Sulf na hii Prado ni gari za aina moja, shida kubwa ni service ya mara kwa mara ya mikono ya mbele, Bush na Ball joints, ya diesel inasumbua, chukua ya petrol yenye engine ya 3rz

 
Ahsante kwa ushauri wa kujenga zaidi....hakika knowledge is power....
 
mkuu engine ya 3RZ na 2TR ipi nzuri?
 
mkuu
Za mwaka 2000, zenye 3RZ engine. Mimi nauza Tshs 18,824,000 (hio ni gharama mpaka gari kuwa barabarani kasoro bima)
wewe ni agent for clearance? unaweza kudili na gari kutoka japan hadi inifikie nyumbani kwangu?
 
Subaru forests manual au alteza kutoka jpan yd bongo unafanya kwa being IP mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Habari,

Subaru forester zimetofautiana, hadi kwenye mwaka.

Hivyo, hata bei zimetofautiana.
Sasa, sijajua unahitaji ya mwaka upi.

Kuhusu altezza, ya mwaka 2002 ni Tshs 10,500,000 (kila kitu hadi barabarani, kasoro bima)
Ila za chini ya 2002 bei inapungua, na za juu ya 2002 bei inaongezeka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…