Wakuu JF natumaini wote mko salama.
Ninahitaji ushauri na msaada wako kimawazo. Jamani nimepata kama laki 4 hivi nahitaji kufungua banda la matunda.
Niambieni ni matunda yapi pendwa ambayo yanahitajika. Kama kuna mtu mwenye orodha ya bidhaa zinazohitajika katika banda la matunda anisaidie.
Alafu nikijenga banda nijenge la kuhamishika au ambalo halihamishiki kwa sababu nilikuwa nataka nijenge banda ambalo ikifika muda wa kufunga, nakusanya bidhaa naingiza ndani napiga kufuli kukicha nafungua kama kawaida.
Na mnipe na ubunifu upi niingie nao ambao utanirahisishia kupata wateja nitakapoanza maana yake najua mwanzo ni mgumu.
Location ambayo nataka nifungue hilo banda ni junction ya kutoka Halmashauri ya Wilaya na njia kuu ya raia wa bomani na mwenye eneo amesema nimlipe elfu 30 kwa mwezi.
Sasa naombeni mnisaidie na nyie jinsi ya kufanya hii biashara. Pia naomba mnipe na picha nzima ya banda liweje, yaani kulidizaini banda.
Naombeni mnisaidie wakuu.
Nawasilisha.
Ninahitaji ushauri na msaada wako kimawazo. Jamani nimepata kama laki 4 hivi nahitaji kufungua banda la matunda.
Niambieni ni matunda yapi pendwa ambayo yanahitajika. Kama kuna mtu mwenye orodha ya bidhaa zinazohitajika katika banda la matunda anisaidie.
Alafu nikijenga banda nijenge la kuhamishika au ambalo halihamishiki kwa sababu nilikuwa nataka nijenge banda ambalo ikifika muda wa kufunga, nakusanya bidhaa naingiza ndani napiga kufuli kukicha nafungua kama kawaida.
Na mnipe na ubunifu upi niingie nao ambao utanirahisishia kupata wateja nitakapoanza maana yake najua mwanzo ni mgumu.
Location ambayo nataka nifungue hilo banda ni junction ya kutoka Halmashauri ya Wilaya na njia kuu ya raia wa bomani na mwenye eneo amesema nimlipe elfu 30 kwa mwezi.
Sasa naombeni mnisaidie na nyie jinsi ya kufanya hii biashara. Pia naomba mnipe na picha nzima ya banda liweje, yaani kulidizaini banda.
Naombeni mnisaidie wakuu.
Nawasilisha.