Naomba Ushauri: Kutengeneza H Beam Tank Stand (10,000 Litres)

Naomba Ushauri: Kutengeneza H Beam Tank Stand (10,000 Litres)

Senior Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2011
Posts
3,405
Reaction score
3,689
Peace Be Upon Y’all

Husika na kichwa Cha Habari

Kuna site kimeoteshwa kibanda sasa uwani kumebaki nafasi ambayo plan ikawa iwekwe stand ya kubeba tank la maji la 10,000 ambayo litabebwa na stand imara za chuma za H Beam kwa mnaozifaham…..urefu usiopungua foot 10 kwenda juu ukicheck nyuma ya nyumba kuna kiji slope flani hivi….

To The Matter

Ulikuwa unahitajika ushauri wa kulitengeneza hilo stand, ufundi wake, estimated costs, ni H beam ya size gani itakua imara ya kuhimili uzito wake hilo tank la litre 10,000 likijaa maji, risk na changamoto zake na namna ya kukabiliana nazo, wapi material yanapatikana kwa gharama zenye ahueni etc.

YES, Kwa mazingira yaliyopo stand ya ghorofa / slabs za zege isn’t preferable.

Many Thanks & God Bless.
 
H beam zilizotimia ni kwa Dosh steel hapo buguruni au Sita steel tabata, ila chuma kimepanda bei karibu maradufu, H beam ya 18mm kwa mfano inauzwa 3mil plus , urefubwa futi 38, hii ni bei ya mwaka jana mwishoni
 
H beam zilizotimia ni kwa Dosh steel hapo buguruni au Sita steel tabata, ila chuma kimepanda bei karibu maradufu, H beam ya 18mm kwa mfano inauzwa 3mil plus , urefubwa futi 38, hii ni bei ya mwaka jana mwishoni

MaMaMaMa Eeeh

Na u mean hzo za 18 mm ndio zinazotakiwa kwa hyo stand mkuu?
 
Mkuu si ujenge tu mnara?
Lita elfu kumi ni nyingi japo sina uzoefu na h beam ila mnara wa tofali au zege ni mkataba miaka 100.

Ok

Unajua nn actually nimejenga mnara mpana flani hivi kama meter 4 kwa 3 na nusu hivi sort of msingi wake nimeanza toka chini fresh na nondo nimetumia kwa kila nguzo 16 mm - nondo 6 kwa kila nguzo (msingi wake wa vile vile kama ghorofa foot 4 na nusu kwenda chini na nondo zimesukwa fresh tu kwa hzo nondo za 12 mm base lake la square vile vile kama ghorofa)

Sasa issue ikaja chini nataka nifanye jiko la nnje / juu baada ya slab nifanye store au some room then slab la pili juu ndio niweke hilo tank la litre 10,000 sasa nikawa najawa na hofu flani lisije likaanguka….yani technically ni woga tu ila base chini na ratio za cement kila kitu nimefata utaratibu plus engineer’s guidance….

Sasa kuliangalia lile tank la litre 10,000 lilivyo kubwa alaf lijae maji tena alaf niliweke slab ya floor ya pili ndio hapo najawa woga.

Preferably tank la litre 10,000 cz issue za maji zisiwe na kuunga unga hivi.

NB: Nguzo Za Huo Mnara ni nguzo 4, kila nguzo zina nondo 6 za 16 mm

Hivyo Tu Wakuu.
 
Huo mnara ni mpana sana mkuu, mita 4 kwa 3 inatakiwa slab nondo isukwe kweli kweli usiweke mchezo.
Maana mzigo wa lita elfu kumi siyo mchezo, ukiweka nondo za kuunga unga itakuja kunesa kimtindo maana ni mpana.
 
Ok

Unajua nn actually nimejenga mnara mpana flani hivi kama meter 4 kwa 3 na nusu hivi sort of msingi wake nimeanza toka chini fresh na nondo nimetumia kwa kila nguzo 16 mm - nondo 6 kwa kila nguzo (msingi wake wa vile vile kama ghorofa foot 4 na nusu kwenda chini na nondo zimesukwa fresh tu kwa hzo nondo za 12 mm base lake la square vile vile kama ghorofa)

Sasa issue ikaja chini nataka nifanye jiko la nnje / juu baada ya slab nifanye store au some room then slab la pili juu ndio niweke hilo tank la litre 10,000 sasa nikawa najawa na hofu flani lisije likaanguka….yani technically ni woga tu ila base chini na ratio za cement kila kitu nimefata utaratibu plus engineer’s guidance….

Sasa kuliangalia lile tank la litre 10,000 lilivyo kubwa alaf lijae maji tena alaf niliweke slab ya floor ya pili ndio hapo najawa woga.

Preferably tank la litre 10,000 cz issue za maji zisiwe na kuunga unga hivi.

NB: Nguzo Za Huo Mnara ni nguzo 4, kila nguzo zina nondo 6 za 16 mm

Hivyo Tu Wakuu.
10,000ltrs za maji, kule juu nako store na makolokolo yote kama jezi ya makolo fc halafu hapa chini kabisa bin-adamu anapika zake kwa amani kabisa?
Mkuu hamisha jiko bila kujali uimara wa huo mnara na watu wasogelee hiyo sehemu kwa tuhusa maalumu.
 
Huo mnara ni mpana sana mkuu, mita 4 kwa 3 inatakiwa slab nondo isukwe kweli kweli usiweke mchezo.
Maana mzigo wa lita elfu kumi siyo mchezo, ukiweka nondo za kuunga unga itakuja kunesa kimtindo maana ni mpana.

Yani slabs na nondo chini imesukwa barabara mkuu na engineer kasimamia ratio zote hata asipokuwepo mimi mwenyewe ratio nliosimamia ni 1:3:5 nondo zote zimesukwa ipasavyo….ila issue ndio hyo tank kukaa floor ya pili….tank likikaa floor ya kwanza sina mashaka yeyote.

Unless hapo mkuu ukubwa wa tank upungue nichukue tank 5,000 litres na jingine niweke sehem nyingine hapo hapo site la 5000 litres.

Nikienda site nitarudi na picha zake
 
10,000ltrs za maji, kule juu nako store na makolokolo yote kama jezi ya makolo fc halafu hapa chini kabisa bin-adamu anapika zake kwa amani kabisa?
Mkuu hamisha jiko bila kujali uimara wa huo mnara na watu wasogelee hiyo sehemu kwa tuhusa maalumu.

Kwa kweli chief….Bora tu ufanyike ustaarab mwingine ndio kama wa nliomba ushauri hapo kwanzo wa stand ya pipa kwa H Beam….

Ndio swala la kuanzisha thread likaja kichwani kwa mbadala mwingine yani hyo stand ya H beam.

Ama hapo mchawi yawe ma tank mawili ya buku 5 each mchezo uishe. Moja likae juu ya slab lingine nyuma ya nyumba huko for laundry and cleaning issues.
 
Mkuu unataka uweke tani 10 juu zitakazokuwa 'constant' muda wote; ni hatari kwa usalama wako. Hilo lita 10,000 weka chini; pandisha la lita 3000, weka mota iwe inapandisha maji juu pale itakapohitajika kufanya hivyo.
 
Kwa kweli chief….Bora tu ufanyike ustaarab mwingine ndio kama wa nliomba ushauri hapo kwanzo wa stand ya pipa kwa H Beam….

Ndio swala la kuanzisha thread likaja kichwani kwa mbadala mwingine yani hyo stand ya H beam.

Ama hapo mchawi yawe ma tank mawili ya buku 5 each mchezo uishe. Moja likae juu ya slab lingine nyuma ya nyumba huko for laundry and cleaning issues.
Exactly, matanki mawili ya 5000 lita kila moja yaliyo katika mtawanyo huo ni salama zaidi. Ila hata hivyo hiyo H-Beam ikajengwe imara kana kwamba inaenda kubeba 10,000 litres, hapo amani itakuwepo maana mwisho wa siku inakuwa na nusu (5000litre) tu ya uzito unaotakiwa kubeba
 
Mkuu unataka uweke tani 10 juu zitakazokuwa 'constant' muda wote; ni hatari kwa usalama wako. Hilo lita 10,000 weka chini; pandisha la lita 3000, weka mota iwe inapandisha maji juu pale itakapohitajika kufanya hivyo.

Daah we jamaa umeniokoa big time, This is very right. [emoji817][emoji817]

Hivyo la buku 10 chini linakua la akiba pale juu inakua ni kutop up tu kila likipungua….tunawasha motor hata tukiweka mfumo wa automatic re-fill inawezekana kwa tank la juu.

Dah this is extremely smart advice. Aisee nashukuru sana. Sikuwaza Kabisa Hivi.

JF is the best ever [emoji817][emoji817]

Sikuwaza hili so kwa tank la litre 3,000 huenda halina shida likikaa hyo floor ya pili ya slab ??
 
Kwani kuna ulazima wa kuliweka juu sana . Kwa ujazo huo ukiweka kimo cha futi 4-5 maji hayatafika bafuni na jikoni?.

Unaweza kutumia pump pia kusukuma maji. Hizo tank tower kama zinapitwa na wakati hivi...
 
Mkuu unataka uweke tani 10 juu zitakazokuwa 'constant' muda wote; ni hatari kwa usalama wako. Hilo lita 10,000 weka chini; pandisha la lita 3000, weka mota iwe inapandisha maji juu pale itakapohitajika kufanya hivyo.
Ushauri mzuri huu
 
Leo Nimeona mnara juu kuna lita 10,000, katikati lita 7,000 na chini kuna choo cha nje.
 
Tafuta mtu anaejua Finite Element Analysis akufanyie simulation....
 
Kupanga ni kuchagua
images(32).jpeg
 
Back
Top Bottom