Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,689
Ndugu zangu poleni na majukumu ya hapa na pale.
Okay,To the point
Kutokana na hali ilivyo sasa ni wazi kuna umuhimu wa kuongeza vyanzo vipya vya mapato otherwise u kno how its like...
Baada ya kuongea na marafiki wawili watatu town wakaniambia kuna a small frame ipo kariakoo very close na Congo St. Nimewaza niplan kuuza nguo za kike ( blouses and dresses) hapo mitumba Grade A (baada ya kufungua bale mimi mwenyewe) with a good price kwa mtazamo wangu naona nitafanikiwa cz ubora ni mzuri, cheap and nguo hazifanani fanani (unique). Mnaweza ni suggest wholesale and retail prices.
In the long run hata ajira nitatoa kwa vijana kama wawili chini ya uangalizi wa shemej/wifi yenu.
Sasa ndugu zangu nakaribisha mawazo yenu...hii idea mnaionaje ?? Risks and Rewards mnaziona vp ??
Pia natafuta supplier wa nguo za kike hapa ndani wanao supply nguo mpya on credit hapa hapa bongo (kabla ya kuruka china et al) kwa some businessmen huenda wakawa na good deals then nikanunua kwao at the start.
Jamani karibuni Sana kwa Roho moja.
Okay,To the point
Kutokana na hali ilivyo sasa ni wazi kuna umuhimu wa kuongeza vyanzo vipya vya mapato otherwise u kno how its like...
Baada ya kuongea na marafiki wawili watatu town wakaniambia kuna a small frame ipo kariakoo very close na Congo St. Nimewaza niplan kuuza nguo za kike ( blouses and dresses) hapo mitumba Grade A (baada ya kufungua bale mimi mwenyewe) with a good price kwa mtazamo wangu naona nitafanikiwa cz ubora ni mzuri, cheap and nguo hazifanani fanani (unique). Mnaweza ni suggest wholesale and retail prices.
In the long run hata ajira nitatoa kwa vijana kama wawili chini ya uangalizi wa shemej/wifi yenu.
Sasa ndugu zangu nakaribisha mawazo yenu...hii idea mnaionaje ?? Risks and Rewards mnaziona vp ??
Pia natafuta supplier wa nguo za kike hapa ndani wanao supply nguo mpya on credit hapa hapa bongo (kabla ya kuruka china et al) kwa some businessmen huenda wakawa na good deals then nikanunua kwao at the start.
Jamani karibuni Sana kwa Roho moja.