fanyia kazi hapamrudishe hospitali... hata ukijua anasumbuliwa na nini hutamtibu mwenyewe mpaka umepeleke tena hospitali akapewe tiba!! so why a waste of time kwa kutaka kujua anasumbuliwa na nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
mrudishe hospitali... hata ukijua anasumbuliwa na nini hutamtibu mwenyewe mpaka umepeleke tena hospitali akapewe tiba!! so why a waste of time kwa kutaka kujua anasumbuliwa na nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
unataka ujue nini Mkuu 34 weeks of gestation manaake uyo mtoto ni premature watoto kama hao wana risk kubwa ya infection. Mtoto kufanya kama anataka kutapika, kutoa mate (drooling of saliva) looks to me kama ana complication ya Down's sydrome... Ila hata ukishajua vitu kama ivi navingine vingi after all utampeleka tu hospitali akatibiwe so kwa ajili ya kusave time ni vema tu ukamuwaishaKukaa kimya ni bora zaidi kuliko kuongea
Thanks mkuuunataka ujue nini Mkuu 34 weeks of gestation manaake uyo mtoto ni premature watoto kama hao wana risk kubwa ya infection. Mtoto kufanya kama anataka kutapika, kutoa mate (drooling of saliva) looks to me kama ana complication ya Down's sydrome... Ila hata ukishajua vitu kama ivi navingine vingi after all utampeleka tu hospitali akatibiwe so kwa ajili ya kusave time ni vema tu ukamuwaisha
Sent using Jamii Forums mobile app