Naomba Ushauri kwa Mtu mwenye uzoefu na Hili

Wakulonga

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
762
Reaction score
771
Habari wana JF, mimi nina mtoto wa miezi miwili ambaye alizaliwa akiwa na week 34 tu tumboni. Baada ya kuzaliwa alikaa kwa muda wa siku tatu kisha madaktari wakamruhusu na kutuambia baada ya week moja tumrudishe hospitali. Tulipomrudisha tukaambiwa mtoto ana matatizo kwa hiyo alilazwa kwa week moja kisha akaruhusiwa sasa hivi karibuni namuona anafanya kama anataka kutapika lakin hatapiki. Sometimes anatoa mate kidogo na inamtokea karibia kila siku wakati mwingine hata akiwa usingizini. Sasa ndugu zangu naomba ushauri kwa anayejua mimi napatikana Dsm
 
Pole sana mkuu, wajuvi watakuja kukupa ushauri

Mbwa ukimjua jina hata hakusumbui
 
mrudishe hospitali... hata ukijua anasumbuliwa na nini hutamtibu mwenyewe mpaka umepeleke tena hospitali akapewe tiba!! so why a waste of time kwa kutaka kujua anasumbuliwa na nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kukaa kimya ni bora zaidi kuliko kuongea
unataka ujue nini Mkuu 34 weeks of gestation manaake uyo mtoto ni premature watoto kama hao wana risk kubwa ya infection. Mtoto kufanya kama anataka kutapika, kutoa mate (drooling of saliva) looks to me kama ana complication ya Down's sydrome... Ila hata ukishajua vitu kama ivi navingine vingi after all utampeleka tu hospitali akatibiwe so kwa ajili ya kusave time ni vema tu ukamuwaisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thanks mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…