Habari za leo wadau wa JF. Mimi ni Mwalim wa Kingereza Ngazi ya Shahada.
Naomba uzoefu kidogo kwa wale waliofanya usili wa Utumishi wa online wa hivi karibuni.
Je,
1. Maswali ni ya kuchagua au ya kujieleza?
2. Maswali ni ya kulenga zile duties zilizoandikwa kwenye Tangazo?
Asanteni sana ndugu zangu.
Natatajia kupata majibu mazuri.
Naomba uzoefu kidogo kwa wale waliofanya usili wa Utumishi wa online wa hivi karibuni.
Je,
1. Maswali ni ya kuchagua au ya kujieleza?
2. Maswali ni ya kulenga zile duties zilizoandikwa kwenye Tangazo?
Asanteni sana ndugu zangu.
Natatajia kupata majibu mazuri.